Yajayo kwenye DW Kiswahili Habari za Ulimwengu | Juni 11, 2025 | Mchana | Swahili Habari leo | Podcast:
– Wanaharakati wa Kenya wakiongozwa na Martha Karua na jaji mkuu wa zamani Willy Mutunga waiishitaki serikali ya Tanzania katika mahakama ya Haki ya Afrika Mashariki.
. Waandamanaji wakiuka amri ya kutoka nje usiku kule Los Angeles Marekani na kulazimisha polisi kuanzisha kamatakamata.
#dwkiswahili #DWSwahili #HabariLeo #RipotiNaUchambuzi #TaarifaYaHabari #DWKiswahiliPodcast
Ukitaka kupata habari zetu kila siku, π bonyeza ‘subscribe’ kwenye chaneli yetu ya DW Kiswahili.